Breaking News

PROMOTE YOUR MUSIC.

 JE ! wewe ni msanii na ungependa kuwa maarufu kwa kutangaza kipaji chako katika mtandao 
      unaofikiwa na watu kote ulimwenguni ? Ujachelewa bado unaweza kutangaza nasi kupitia website yetu na mitandao yetu ya kijamii kwa kufuata mambo yafuatayo :-

     (a) Hakikisha una Audio au Video yenye kiwango kinachotakiwa { Quality}

     (b) Kwa Audio unatakiwa kuwa na photo cover yake pia yenye kiwango sahihi {Quality}

kama hauna cover tuta kusaidia kutengeneza
     Tuma link ya picha, audio au video yako kwa kuzingatia njia ifuatazo :-    

Whatsapp: 0718841758 
                          
 Bei yetu ya kutangaza nyimbo yako  kwa Audio ni Tsh   7000 na Video Tsh 10,000 

 NJIA YA MALIPO

 Malipo yote yafanyike  kwenye  akaunti ya ..... jina la akaunti ni .....
Baada ya malipo tuma ujumbe mfupi au piga simu kwenye namba.....  hapo kazi yako itaonekana.
                                         
          FAIDA ZA KUTANGAZA NASI

1. VIDEO au AUDIO yako itaweza kuonekana katika baadhi ya blog au website nyingine nyingi.

2.Nyimbo yako itaweza kuonekana GOOGLE na hapo itaweza kupakuliwa kupitia website yetu.
3. Nyimbo yako itaweza kufikiwa na kusikilizwa na watu wengi kutoka maeneo mbalimbali ndani         na  nje ya nchi
4.Nyimbo yako itakuwa mtandaoni daima haitaweza kufutwa na yeyote yule.
5.Wewe kama msanii unaweza kutengeneza mashabiki wengi na watu wa kudhamini kazi zako.


KUWA MAARUFU KWA KUTANGAZA NASI KOTE NCHINI

        BY DIZOMNYAMA.COM 

No comments